Je wewe ni mkulima wa miwa na huna soko lenye tija la kuuza miwa yako. Njoo nikuunganishe na soko la uhakika na lenye faida... Utasimamia mwenyewe hatua zote kuanzia shamba hadi sokoni.
Email: eckomagri@gmail.com
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Ungefanya risk management nzuri sana kama hiyo pesa yako ungewekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji hekari 60 tu kuliko kulima ekari 150 kwa kutegemea mvua. Anyway kila la kheri katika safari yako. Ulete mrejesho
Kama unataka kufanya hio biashara serious na utengeneze pesa uwe na mtaji wa at least 20mill. Zungusha hiyo pesa yako ifikie hapo then rudi uombe tena ushauri utapata muongozo.
We mtoa mada kama unaamini Mungu ndie ameumba wanaadamu basi lazma ujue kuna sheria zake zinazopatikana katika misingi ya dini. Kasome dini ya uislamu ufahamu vzr na ukristo ufahamu vzr ndio ulete tena mada. Maana hapo umebwabwaja pumba tupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.