Recent content by Amante

  1. Amante

    Soko la miwa la uhakika

    Je wewe ni mkulima wa miwa na huna soko lenye tija la kuuza miwa yako. Njoo nikuunganishe na soko la uhakika na lenye faida... Utasimamia mwenyewe hatua zote kuanzia shamba hadi sokoni. Email: eckomagri@gmail.com Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
  2. Amante

    Nahitaji mashine za kupandia mahindi au karanga

    Unahitaji planter ya row ngapi? Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
  3. Amante

    Mwaka 2023 nitafia shambani, eeh Mungu nisaidie!

    Ungefanya risk management nzuri sana kama hiyo pesa yako ungewekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji hekari 60 tu kuliko kulima ekari 150 kwa kutegemea mvua. Anyway kila la kheri katika safari yako. Ulete mrejesho
  4. Amante

    Biashara ya kupeleka nafaka nije ya nchi

    Kama unataka kufanya hio biashara serious na utengeneze pesa uwe na mtaji wa at least 20mill. Zungusha hiyo pesa yako ifikie hapo then rudi uombe tena ushauri utapata muongozo.
  5. Amante

    Biashara ya miwa

    Unataka kufanya hiyo biashara mkoa gani? Fafanua tukupe muongozo
  6. Amante

    Thamani ya Soko la Hisa DSE yaporomoka kwa Tsh. Bilioni 323

    Serikali ya michongo. Uchumi umepanda kwa data gani?
  7. Amante

    Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

    All i can say is pole sana. You still need a lot of knowledge. Forex isn’t for the weak.
  8. Amante

    Thamani ya Soko la Hisa DSE yaporomoka kwa Tsh. Bilioni 323

    Soko la hisa la marekani, uingereza, china na duniani kote limeshuka kutokana na uchumi kuporomoka. Hii sio kwa soko la Tanzania pekee
  9. Amante

    Kuvaa Hijab ni dini au udhaifu wa wanaume?

    We mtoa mada kama unaamini Mungu ndie ameumba wanaadamu basi lazma ujue kuna sheria zake zinazopatikana katika misingi ya dini. Kasome dini ya uislamu ufahamu vzr na ukristo ufahamu vzr ndio ulete tena mada. Maana hapo umebwabwaja pumba tupu.
  10. Amante

    Kiwanja kinauzwa Mbagala Chamazi Mbande bei m3.3

    Futi 40 kwa 50 unakuja kutuuzia mil 3 wakat viwanja maeneo hayo vinauzwa laki 7 boss. Enewei wacha nipite zng nisiharb biashara.
  11. Amante

    Nilivyoingiza 17.6M ndani ya mwaka mmoja na nusu, kwa biashara ya Mgahawa kwa mtaji wa kawaida kabisa

    Kwanini hukuchagua upande wa Mungu ukasimama nao sawasawa ila ukaona huwezi kutoboa mpaka sangoma ahusike, ningependa kufahamu tafadhali
  12. Amante

    Watu wanatumia Akili sana kupata kipato mjini mipango

    Kwenye kitabu cha siri za mafanikio kuna kurasa hazisomwi kwa sauti. Hapo ndo huo msemo unafanya kazi
  13. Amante

    Elon Musk azidi kujiimarisha kwa utajiri duniani

    Lary page nafasi ya 7 [emoji119]
  14. Amante

    Kazi nilizowahi zifanya na zikanishinda kwenye utafutaji

    Jamaa ni story teller mzuri sana. Explaining real life experience in form of storytelling, sio kila mtu ana huu ujuzi.
Back
Top Bottom