Recent content by Amante

  1. Amante

    Jinsi ya kutoa uchawi laana(vijicho) kwenye mwili

    Ittakillah ndugu. Shirki ni dhambi isiosamehewa.
  2. Amante

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Binaadamu kiumbe jeuri sana. Umeumbwa kutoka kwenye tumbo la mamaako kama tone la manii kisha ukawa pande la damu kisha pande la nyama mpaka kua kiumbe kamili, umezaliwa ukiwa huna unalolijua. Eti baada ya kua na ufahamu unakanusha uwepo wa Mungu aliekuumba [emoji3] Hii dunia miaka 1500 tu...
  3. Amante

    Kazi ya binadamu duniani imeshaisha takriban miaka 445,000 iliyopita

    Nikisoma izo comment umu wengi wanajifanya wajuaji sana na great thinkers but deep inside akili zao ni matope [emoji23][emoji23]. Kama we ni msomi utakua unafahamu kuna vizazi viliishi duniani na kufanya mambo mengi ambayo wanasayansi wa leo bado hawaelewi vilifanyikaje. Vizazi hivyo mpaka leo...
  4. Amante

    Ni sahihi kumpa mtoto uliyemuasili hadhi ya uzaliwa wa kwanza?

    Hii dunia ina mmiliki wake ambae ni Mungu na baada ya kuleta wanaadamu alijua kuna mengi tutatatizika hivyo akaweka sheria zake ili tunapotatizika turejee katika sheria zake. Tukija kwenye sheria ya Mungu anasema Msiwaite watoto mnaowalea kwa ubini wenu bali waiteni kwa majina ya baba zao...
  5. Amante

    Soko la miwa la uhakika

    Je wewe ni mkulima wa miwa na huna soko lenye tija la kuuza miwa yako. Njoo nikuunganishe na soko la uhakika na lenye faida... Utasimamia mwenyewe hatua zote kuanzia shamba hadi sokoni. Email: eckomagri@gmail.com Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
  6. Amante

    Nahitaji mashine za kupandia mahindi au karanga

    Unahitaji planter ya row ngapi? Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
  7. Amante

    Mwaka 2023 nitafia shambani, eeh Mungu nisaidie!

    Ungefanya risk management nzuri sana kama hiyo pesa yako ungewekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji hekari 60 tu kuliko kulima ekari 150 kwa kutegemea mvua. Anyway kila la kheri katika safari yako. Ulete mrejesho
  8. Amante

    Biashara ya kupeleka nafaka nije ya nchi

    Kama unataka kufanya hio biashara serious na utengeneze pesa uwe na mtaji wa at least 20mill. Zungusha hiyo pesa yako ifikie hapo then rudi uombe tena ushauri utapata muongozo.
  9. Amante

    Biashara ya miwa

    Unataka kufanya hiyo biashara mkoa gani? Fafanua tukupe muongozo
  10. Amante

    Thamani ya Soko la Hisa DSE yaporomoka kwa Tsh. Bilioni 323

    Serikali ya michongo. Uchumi umepanda kwa data gani?
  11. Amante

    Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

    All i can say is pole sana. You still need a lot of knowledge. Forex isn’t for the weak.
  12. Amante

    Thamani ya Soko la Hisa DSE yaporomoka kwa Tsh. Bilioni 323

    Soko la hisa la marekani, uingereza, china na duniani kote limeshuka kutokana na uchumi kuporomoka. Hii sio kwa soko la Tanzania pekee
  13. Amante

    Kuvaa Hijab ni dini au udhaifu wa wanaume?

    We mtoa mada kama unaamini Mungu ndie ameumba wanaadamu basi lazma ujue kuna sheria zake zinazopatikana katika misingi ya dini. Kasome dini ya uislamu ufahamu vzr na ukristo ufahamu vzr ndio ulete tena mada. Maana hapo umebwabwaja pumba tupu.
  14. Amante

    Kiwanja kinauzwa Mbagala Chamazi Mbande bei m3.3

    Futi 40 kwa 50 unakuja kutuuzia mil 3 wakat viwanja maeneo hayo vinauzwa laki 7 boss. Enewei wacha nipite zng nisiharb biashara.
Back
Top Bottom