Recent content by Amani Wiseone

  1. Amani Wiseone

    Daktari Mzuri wa watoto

    Za kwako furaha hospital nawezapata direction
  2. Amani Wiseone

    Daktari Mzuri wa watoto

    Naomba direction ya furaha hospital hiyo ya boko
  3. Amani Wiseone

    Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

    Watu wanamisimamo utafikiri walishawai kumuona hata masihi, waafrika wote tumerithi dini, kwakuwa umezaliwa ma muislam unakuwa muislam na ungezaliwa na ukisto ungekuwa mkisto. Sasa hiyo imani kama umemuona yesu au muhammad umeipata wapi dada olewa, achana na maneno ya watu jaribu mwenyewe...
  4. Amani Wiseone

    Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

    Unajua hata ungeenda kwa shekh nae angevutia upande wake, unatakiwa uweende kwa washauri walio normal kwenye swala la dini sasa wewe washauri wako wapo juu sana kiimani ni ngumu kukupa perfect ushauri.
  5. Amani Wiseone

    Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

    Wewe hufai kuwa mshauri udini unakuumiza jaribu kumpa mtu option sio kuchukulia jambo ni rahisi, dada angalia moyo wako achana na miruzi mingi
  6. Amani Wiseone

    Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

    Usimshauri mtu kwa mfano wa mtu mmoja, jitaidi kuwa mchambuzi wa swala kwa kina. Ukweli dada unaweza ukaingia kwenye hiyo ndoa ikawa mbaya na yaweza ikawa nzuri yenye furaha katika maisha yako yote. Family itaenda ila itafikia sehemu itakubari matokeo. Na wewe ndio utakuwa judge wa maisha yako...
  7. Amani Wiseone

    Baadhi ya wanaume waliooa hawana haya wala soni

    Mwanaume kiumbe dhaifu juu ya matamanio na hamaanishi hampendi mkewe.anampenda sana ukitaka kutest mchepuko uingilie swala la family yake. Kikubwa heshima na wanawake acheni upeku upeku mtajiumiza roho
  8. Amani Wiseone

    Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

    UNAPOTOA MAADA LAZIMA UWE MAKINI NA MAKINI NA UTUMIE BUSARA SANA SIO KWA SABABU UMEONA JAMBO KWENYE MTANDAO NA UKALISOMA NA JINSI ULIVYOLIELEWA WEWE BILA KUPATA USHAURI UNAENDA KULITUNDIKA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII NYAKATI NYINGI LAWEZA KUKUGHARIMU
  9. Amani Wiseone

    Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

    Unajua kitu usichokuwa na elimu nacho ni mbaya sana kujitoa kifua mbele,mawili utakuja kuzalilika au cv yako itashuka na kupoteza umaana wako na ukaonekana mpumbavu.
Back
Top Bottom