Recent content by amani peace

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mkoani Kagera: Yaliyojiri kwenye Ziara ya Rais Magufuli kwenye Uzinduzi wa Uwanja wa Ndege Bukoba Mjini

    Nimependa jinsi mkuu anavyofundisha watu kukwepa ushuru!asubuhi saa kumi na mbili peleka tani moja,saa mbili nyingine moja....endelea hivyo hivyo ikifika jioni ushapitisha tani zako ishirini!!ahsante Mheshimiwa kwa kutupa mbinu za kupambana na hizi nati
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Morogoro Mjini

    Hiyo hapana mkuu,advantage ya hiki kiwanja, sio mbali na itakapojengwa station ya treni ya mwendo kasi,upande wa pili kuna eneo limetengwa kwa ajili ya bandari kavu na starcity (ile project unayoiona kabla ya kuingia nane nane,unatembea kwenda viwanja vya nane nane,kuna tofali,mchanga,ni makazi...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Morogoro Mjini

    Kilometer moja toka Barabara kuu mkuu,tafadhali naomba nipm namba yako
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Morogoro Mjini

  5. A

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Morogoro Mjini

    Bado kipo,karibuni
  6. A

    JamiiForums Tanzania Wanaofungisha ndoa za mkeka wanapata wapi mamlaka?

    mkuu hizi ndoa nasikia wanakujaga na mapanga,mikuki na sime! usiposema I DO! kimojawapo kinakuhusu
  7. A

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Morogoro Mjini

    nane nane- Tungi mkuu
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Morogoro Mjini

    nane nane -tungi mkuu
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Morogoro Mjini

    Kiwanja kinauzwa Morogoro mjini- Nanenane, kina offer sqm 690, maji, umeme vipo, kiko katikati ya makazi, kilometer 1 toka barabara kuu ya dar -moro, bei 15millioni, pia kuna tofali za mchanga 1000 na udongo 2000, mchanga lorry 1, hivi tunaweza zungumza tofauti karibu ujipatie makazi, piga...
Back
Top Bottom