Kwanza mi huwa sisomi magazeti ya aina hii hasa Raia Mwema coz dhahiri ni ya uchochezi,haiwezekani wao kila toleo lazima kuwe na jina JK,bora walifungie tu
Nikiangalia umri wa mdogo wangu Mdee sidhani kama alipaswa kumjibu mzee Wasira hata kama ni siasa but ndo napata picha kamili ya nidhamu hovyo ya viongozi tulionao zama hizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.