Recent content by Amang'anaa

  1. A

    Raia Mwema hatarini kufungiwa makala 'kila awamu ina rekodi ya kuua', mtego kwa JK

    Kwanza mi huwa sisomi magazeti ya aina hii hasa Raia Mwema coz dhahiri ni ya uchochezi,haiwezekani wao kila toleo lazima kuwe na jina JK,bora walifungie tu
  2. A

    Arumeru mashariki: Halima Mdee apiga below the belt

    Nikiangalia umri wa mdogo wangu Mdee sidhani kama alipaswa kumjibu mzee Wasira hata kama ni siasa but ndo napata picha kamili ya nidhamu hovyo ya viongozi tulionao zama hizi.
Back
Top Bottom