Recent content by amando pascal

  1. amando pascal

    JamiiForums Tanzania Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

    𝗔𝗸𝗶𝗹𝗶 𝗯𝗮𝗻𝗱𝗶𝗮 𝘀𝗮𝘀𝗮 𝗶𝗺𝗲𝗸𝘂𝗷𝗮 𝗻𝗮 𝗮𝗽𝗽 𝘆𝗮𝗸𝗲 Ramsi sasa akili bandia inapatikana app yake najua watu wengi walikua wakitafuta app za akili bandia kupitia soko la play store pamoja na app store wanakutana nazo nyingi alafu aziko seriously sana. kampuni ya OpenAi Ramsi imeleta app ya ChatGpt kwenye...
  2. amando pascal

    JamiiForums Tanzania Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

    UZI[emoji3468] Kama shabiki na mtaalam wa AI katika ChatGPT, ninayo furaha kushare ufahamu wangu kwenu. Katika uzi huu, nitajadili msingi wa ChatGPT, muundo wake, na jinsi unavyofanya kazi. #ChatGPT #AI Kwanza kabisa, ChatGPT ni nini? ChatGPT ni mfano wa lugha/language model iliyoundwa na...
  3. amando pascal

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi wana-switch from Windows 11 to Windows 10?

    Kwa nini watu wengi wana-switch from Windows 11 to Windows 10?, Windows 11 haijawa successfully kama tulivyotegemea mbali ya kuwa na features na Promo kubwa?
  4. amando pascal

    JamiiForums Tanzania Je, unajua XT Kwenye Subaru Forester Inamaanisha nini?

    Uzuri wa subaru vifaa vyake ukifunga ni mkataba
  5. amando pascal

    JamiiForums Tanzania Je, unajua XT Kwenye Subaru Forester Inamaanisha nini?

    [emoji599]: Unajua XT Kwenye Subaru Forester Inamaanisha nini? T” inamaanisha “Turbo Charger” na X ni “maximum traction” ni sawa na kusema all-wheel-drive,na pia inauwezo mkubwa wa kutembea off-road kiufupi ni ile go-anywhere snow, dirt, and gravel.
  6. amando pascal

    JamiiForums Tanzania Dizasta vina - Hatia V

    Ndo humo humo [emoji16][emoji16][emoji16] usimsahau ndugai
  7. amando pascal

    JamiiForums Tanzania Dizasta vina - Hatia V

    Kwa wapenzi wa hiphop hivi mmepata na nafasi ya kusikiliza hii nyimbo mpya dizasta vina hatia V aisee kuna ubunifu mkubwa umetumika sana humo hata akifa leo nyimbo zake zitasikilzwa milele jamaa anajua sana. Vipi maoni yako mwana #JF #DIZASTAVINA #HATIA
Back
Top Bottom