Kiukweli hali inatisha na sijui kwanini serikali imekalia mambo ambayo yananufaisha mwananchi mmoja mmoja badala ya kufanya mambo yatayo nufaisha watanzania wote kitu kama barabara haswa zinazoelekea kwenye huduma za jamii zafaa zipewe kipau mbele na si kingine
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.