Recent content by Aman Cosmas

  1. A

    msaada kuflash iphone 5

    npo dar es salaam
  2. A

    msaada kuflash iphone 5

    inaomba apple id na apple id za alikua anaitumia czijui
  3. A

    msaada kuflash iphone 5

    ambae anajua kuflash iphone 5 anisaidie hata akiwa anajua sehem ambapo ntapata msaada anielekeze asante
  4. A

    msaada kuflash iphone 5

    kuna iphone 5 hapa ipo locked anaejua kuflash naomba msaada
  5. A

    Mbwa mbegu kubwa(wawe wa miezitatu mpaka nne)

    nenda maeneo ya victoria pale kuna watu wanauza mbwa wazuri
  6. A

    Hesabu kwa siku ya Bajaj

    kila biashara ina changamoto zake ss usitegemee kuona ki2 kingine tofauti na hayo matatizo. ukiwa kama mfanyabiashara lazima upambane na changamoto zozote zile
  7. A

    Msaada nahitaji mahali ambapo nitapata mafunzo ya ufugaji wa kuku

    nimefuatilia nimepata mwanga lakini bado haitoshi nataka kujua zaidi kuna vitu vingi sana kwenye ufugaji
  8. A

    Msaada nahitaji mahali ambapo nitapata mafunzo ya ufugaji wa kuku

    ss mdau mtakuona vp aisee nipe contact zako
  9. A

    Msaada nahitaji mahali ambapo nitapata mafunzo ya ufugaji wa kuku

    habari wana jf kama title inavyo sema naomba kujua mahali ambapo nitapata elimu ya ufugaji wa kuku iwe wa kienyeji wa kisasa. mn nakaa dar es salaam tumefunga chuo ss mpaka mwezi wa nane sina kazi nyumbani naombeni msaada wenu tafadhali asante
  10. A

    Hesabu kwa siku ya Bajaj

    umeshindwa kusimamia bajaji ije iwe m-pesa tigo pesa hahahahaha jifunje biashara
  11. A

    Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

    thankx mamaNa
  12. A

    Kwanini nilisema kama ukiwa na fomula hii utaishia kuteseka kiuchumi?

    mkuu maneno yako niya kweli kabisa watanzania wengi yani akifumania kihela kidogo anawaza kujenga. hawazi mbinu ya kuifanya pesa aliyoipata ijizalishe. 2badilike aisee tusiwe waogo kufanya maamuzi magum
Back
Top Bottom