kila biashara ina changamoto zake ss usitegemee kuona ki2 kingine tofauti na hayo matatizo. ukiwa kama mfanyabiashara lazima upambane na changamoto zozote zile
habari wana jf kama title inavyo sema naomba kujua mahali ambapo nitapata elimu ya ufugaji wa kuku iwe wa kienyeji wa kisasa. mn nakaa dar es salaam tumefunga chuo ss mpaka mwezi wa nane sina kazi nyumbani naombeni msaada wenu tafadhali asante
mkuu maneno yako niya kweli kabisa watanzania wengi yani akifumania kihela kidogo anawaza kujenga. hawazi mbinu ya kuifanya pesa aliyoipata ijizalishe. 2badilike aisee tusiwe waogo kufanya maamuzi magum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.