Recent content by amai_martha

  1. A

    SoC01 Jinsi ya kujua kama biashara unayotaka kujiunga ni ya utapeli / network marketing

    Biashara za network marketing zipo nyingi sana, makampuni haya yapo mengi sio tu Tanzania, duniani kote. Wanashawishi watu watafutaji, wenye nia ya kufanikiwa kwenye maisha kujiunga na hivyo wao kuwatapeli kwa kutumia nia njema za hawa watu na tamaa yao ya kufanikiwa. Wote tunatafuta, watu wa...
  2. A

    SoC01 Njia 3 'blogging' inanisaidia kupata kipato na inavyoweza kufanya hivyo kwako pia

    saw sawa, ukianza usiache kunitumia link nifuatilie blogu yako
  3. A

    Njia 7 rahisi za kulinda afya yako ya akili unapotumia mitandao ya kijamii

    Je, huwa unajisikia kuchoka? Wivu? Kama vile haufai au maisha yako sio bora kama ya wale unaowaangalia kwenye mitandao ya kijamii? Hauko peke yako. Hayo ni madhara machache kati ya mengi ya matumizi ya mitandao ya kijamii kwenye afya ya akili. Mitandao ya kijamii tunaipenda, inatusaidia kupoteza...
  4. A

    Njia 3 'blogging' inanisaidia kupata kipato na jinsi inavyoweza kufanya hivyo kwako pia

    Ulimwengu umebadilika, hatuwezi kukataa kuwa teknolojia imebadilisha maisha yetu, kwa namna ambayo ni chanya na hasi pia. Siku hizi vitu ambavyo wazazi wetu hawakuwaza kama chanzo cha kipato imekuwa chanzo cha kipato kwetu, na kwa hali ilivyo ya ugumu wa ajira na wahitimu kuwa wengi tumejikuta...
  5. A

    SoC01 Njia 3 'blogging' inanisaidia kupata kipato na inavyoweza kufanya hivyo kwako pia

    Ulimwengu umebadilika, hatuwezi kukataa kuwa teknolojia imebadilisha maisha yetu. Siku hizi vitu ambavyo wazazi wetu hawakuwahi kuota kuwa vingekuwa vyanzo vya fedha, vimekuwa vyanzo vya kipato kwetu, na hali ilivyo ya ugumu wa ajira na huku wahitimu ni wengi, tumejikuta kuwa inatubidi tutafute...
Back
Top Bottom