Sababu kubwa ya kumpendekeza zitto kwanza ni kijana,tunaamini kuwa anauwezo mkubwa,anamuda wa kutosha ktk siasa,pia ni mtu makini,mwelevu,pia anauwezo wa kututoa hapa tulipo kwenda mbele walau hatua moja kuliko kuendelea kusimama slaa ambaye umri umekwenda hatoweza kujali baadh ya madai wa jamii...