Nina meecast ni model mpya ambayo imeboreshwa signal ic yake ni strong pia ina mfumo wa iptv ina akaunt ya mwaka, unaweza kutumia ivo kawaida kwa dish au ukiwa na bando unajiachia tu na iptv
Mimi miaka mitano na ushee kidogo, tokea nianze hizi mishe naishia kupokea tu kupitia posta.. Na nachagua shipping method zaidi ya moja, sometimes free cainiao, standard shipping lakini chaa ajabu ndio hivyo sina maajabu.
Sijawahi kuletewa na spidaf hata siku moja... Siku moja nikaja kulizua...
Munasemaga apa ndo unapata spedaf.. Tokea 2021 nianze mishe izi, apo kwa shiping method sijawai bumiana na ilo neno, ata na parsel nilizowai ship Aliexpress sjawai pokea yenye nembo au chata spedaf.. Je Muliowai munafanaye au shipping adress izo za tz uko kwenu mumesevi vipi
Siwezi jua tatzio ni nn au labda kuna kitu kwenye profile akaunt yangu akipo sawa.. Ila tokea ninunue vitu kwakweli sijawai tumiwa kwa spedaf, sana sana pasel zikija zinaishia posta nayotumia na pasel zote sijawai kuta ikiwa na chata izo za spedaf, na sijawai tumia shipping ya aina moja...
Mi nimelalamika sana, munifundishe iyo spedaf nawapataje Aliexpress naona mumenigomea, nimewaomba adress ya0 ya china ili nipeleke mzigo pia mmenigomea no suweti, sasa nishapata mkombozi, kwa bei ile ile kama ya posta kwa vipasel vyangu vidogo vidogo vya 0.1kg.. 0.2, 0.3kg,
Ndan ya siku 10-15
Habari za umu, ivi awa speedaf je unaeza kuwatumia mzigo china kama tunavofanya kwa ma agent labda shamwaa au silent ocean., kama inaezekana je kuna mwenye anaejua delivery address yao ya china
Habari za umu, ivi awa speedaf je unaeza kuwatumia mzigo china kama tunavofanya kwa ma agent labda shamwaa au silent ocean., kama inaezekana je kuna mwenye anaejua delivery address yao ya china
Wakuu habari za umu, mm ni mdau mpya pia kuna kipengele nimekwama, cha kwanza kuna mdau apo juu katuma screenshot ya jinsi ya kujiunga au kufungua akaunt ya speedaf, anasema nch za africa zippo mbili, kati ya hizo tz haipo. Alafu la pili je kwa zanzibar kama nikinunua kitu naeza kuletewa...
Wakuu habari za umu, mm ni mdau mpya pia kuna kipengele nimekwama, cha kwanza kuna mdau apo juu katuma screenshot ya jinsi ya kujiunga au kufungua akaunt ya speedaf, anasema nch za africa zippo mbili, kati ya hizo tz haipo. Alafu la pili je kwa zanzibar kama nikinunua kitu naeza kuletewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.