mama mshumbusi naanza kuwa na wasiwasi naye kuwa ni pandikizi LA kishushushu alilopenyezewa Dr slaa kiutaalam sana kwa ujasusi was hali ya juu bila ye kujua. subirini tutaona mwisho wake
Wasanii hawa kwa taarifa za ndani ni kuwa wamechaguliwa kuwa wajumbe wa kamati ya kitaifa ya katiba mpya kuelekea kura ya ndio wakiwa na Prof Costa Mahalu, Dr Bana, Kingunge, William Lukuvi na Waheshimiwa wengine.
I'm really sorry bro. Nimelitumia neno manyoya bila kufikiri. Linaweza kuleta makwazo kwao au rafiki zao coz wanaweza kuwa humu pia coz wamesoma na nitakuwa nimewakosea kwa neno hilo. Nisamehewe kwa hilo bro nililitumia bila kufikiri. Msamaha wenu plz
Labda sasa hivi ila zamani haikuwepo hiyo. Alafu wameshakuwa watu wazima. Mama yao yupo kawaida ila baba yao NFO mwenye asili hiyo na watoto walimfuata baba. Baba yao ni fund ujenzi uashi wa nyumba.. Watoto hao wamesoma na wengine wamemaliza sekondari. Wapo gud ila manyoya marefu tu mwili mzima...
Natoka kigoma. Ashrli dinkundi la watu ila ni jina LA mmoja was wanafamilia flani waishio kigoma mjini maeneo ya Mlole ambapo familia hiyo wamekuwa wakizaliwa watoto wenye manyoya mwili mzima. Hiyo ndo tunaweza kusema ni kasoro labda ila maimbile mengine, ufahamu, uchapaji kazi, elimu, mapezi ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.