Upinzani hawezi kuua anaweza kuua vyama tu,upinzani ni mawazo hulka ya binadamu.mifano angalia nyumbani kwako sio kila kitu wewe mkeo na wanao mnakubaliana kila jambo
Do your homework, umepewa pakuanzia tafuta ukweli ndugu sio unasema sio kweli bila uchunguzi,kwani hii ndio mara ya kwanza kwa serikali kusema uongo?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.