Recent content by almandoJr

  1. almandoJr

    TRA kuchelewesha kutoa leseni za udereva

    tofautisha kutafta reseni mpya na kurenew reseni
  2. almandoJr

    Ushauri: Mtaji 26m Biashara ya Auto Parts, Lubricants & Spanners

    kwa ushauri wa kawaida idea n nzuri ila pata link up na watu wenye magarage hutojutia uwekezaji wako maana wale watakupa dairly and permanent consumption ya bidhaa zako na waweza pata vijana ukawa wawapa tips kwa kila kiwango cha manunuzi wanafanya kwko lazma wapeane mchongo kuvamia duka lako
  3. almandoJr

    Ushauri: Used Car ndo imetoka Japan iko majini inakuja

    Sizani kama io n shida kwa sasa maana pale pale gari ako haitopata go ahead ya registration kama kuna faults ktk angle yeyote so we utaambiwa tu kitu fulani hakiko sawa hadi urekebishe ndo gari ipitishwe
  4. almandoJr

    TRA kuchelewesha kutoa leseni za udereva

    cha muhmu hapo namba ya nida na tin # na hela yako tu mkuu
  5. almandoJr

    Upi wakati sahihi wa kubadili GearBox Oil (ATF )

    sikushauri kubadiri gearbox oil kama hmna shida yeyote umepata ktk transmittion maana ukicheza vibaya na io service jiandae kisaikolojia though waweza fanya as proper maintenance ya gari aftr 9000km au kila baada ya service ya engine x3 na shida hasa huwa inaanzia pale unapotoa gear box oil...
  6. almandoJr

    Biashara za kuagiza vitu China

    Mostly me huwa namtumia jamaa anaitwa titho maana ofisi zao ziko magomeji kagera pale
  7. almandoJr

    Engine oil (almost yote) kuingia kwenye air intake. Nini kifanyike kabla ya kuiwasha engene?

    Pole sanaa mkuu siwez kushauri endesha ilo gari fanya lisogee kwa kuvutwa den ungefanya vapour cleaning ya io engine bay b4 yote aftr hapo fatilia kama kuna an u linkage ukiwa sure kila kitu kiko sawa waweza washa for testing not driving nxt only testing kuona how itabehave
  8. almandoJr

    Biashara za kuagiza vitu China

    Tumia watu wenye ofisi hapa hapa bongo mbna wako wengi maana hata ukifanya any touches feedback unapata hapo hapo
  9. almandoJr

    Springs city garage (wachina) ya Mwanza, huduma zao ni bora? Kunyoosha bodi ya gari

    Swala la kuiba kwanza n utaratibu wa garage husika ktk makabidhiano kati yako na wao pindi unaacha gari lako kwao kama waaacha kwa maneno tu na kusepa jiandae kulia hata uko kwa mchina maana wafanyakaz wa kawaida n watanzania
  10. almandoJr

    TRA kuchelewesha kutoa leseni za udereva

    Swala la reseni n depends na wapi umeomba ila kama uko serious ndani ya siku 3 unapata reseni ako vzur tu bila ubabaishaji kwa hapa dar japo we mwywe uwe mwepesi sio mtu wa kulalamika tu huku mzito
  11. almandoJr

    Springs city garage (wachina) ya Mwanza, huduma zao ni bora? Kunyoosha bodi ya gari

    Chang'ombe but if una issue ya kupiga rangi na kunyoosha mbna now watu wengi dar wanafanya na kwa ubora zaidi kuliko hata mchina mwywe na kwa gharama inayoeleweka
  12. almandoJr

    Ulaji wa Mafuta wa Subari impreza ninayomiliki

    Uendeshaji wako ndo shida kama kwel gari ako iko proper kila kitu
  13. almandoJr

    Biashara ya design na printing

    Details zako haziko clear au mpka mtu aslide DM
  14. almandoJr

    Kwanini resale value ya Subaru Legacy iko chini?

    All subaru model ina resell value due to market ignorance na kutokuwa na standrds ktk owners
Back
Top Bottom