Kulikuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani bila kujali nani aliyesababisha hivyo lazima polisi waende kufanya kazi yao. Mfano watu walifungiana ndani ya vyumba.
Suala la wabunge kuwa wengi katika sura hiyo yaweza kuwa sawa lakini kwanini walazimishe mbunge mwanaume na mwanamke? Mbunge achaguliwe kwa uwezo wake na sio jinsia yake!
Mbona LATRA wamesema makosa ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro!?
Wamesema hawatoi tiketi za kielektronic.......Nadhani hapa tatizo ni LATRA kuifungia kampuni kutoka eneo pendwa.
Msomi hawezi kuwa mjinga kwakuwa anajua anachokifanya.
Tafuta msamiati mwingine wa kuwapa......... yaani mtu anayejua kuwa anchokifanya sio jambo sahihi kwake, je ni nani huyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.