Hapa ndo ninaposhindwa kuelewa.kwa hii habari mwenyekiti wanasema kamtaja Slaa ndo mgombea wa uraisi na si kama ulivyoandika wewe.ina maana ndani ya CDM mwenyekiti anaweza kumtangaza mgombea pasi na vikao?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.