Mimi ni mwana ukawa damu nilikua narekodi zote jinsi jaji damian lubuva akiwa anatoa matokeo..Naomba nikusahihishe sehemu ndogo ulipokosea na ndipo idadi ilipokupoteza.alipokua akizitaja kura za mgombea wetu kipenz ENL kasema zipo 6042 sio 6420 kama ulizo ainisha hapo juu ndio maana ukitafuta...
Heshima kwenu ndugu zanguni mimi ni first year niliechaguliwa kujiunga na chuo cha kilimo sua kozi ya Bsc.Agr general.Sina budi kuwauliza wakubwa zangu waliopita au waliopo sua juu ya suala hili.Nilikua nauliza gharama za chumba/hostel nje ya campus gharama zake zipoje na availability yake ipo...
Kuhusu joining hiyo unachk kwenye web ya sua but though hawajaiupdate ipo ya 2014 kuhusu email walisema watatutumia username n password through email tulizosubmit heslb ili tupakue invoice ya kulipa ada though bado naona kimya na muda ndio unakwisha hivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.