Mgombea ubunge wa jimbo la ubungo kupitia Chama Cha mapinduzi Profesa Kitila Mkumbo amezungumzia Mambo matano muhimu atakayoanza kuyashughulikia punde tu akiapishwa kuwa mbunge.
Profesa Kitila Mkumbo amesema
"Nina usongo na kuwa mbunge. Nikiapishwa tu naanza kupambana na kero za wana Ubungo...
[emoji625]MTAA KWA MTAA NA MKUMBO.[emoji625]
Mgombea pendwa wa Ubunge Jimbo la Ubungo Prof. KITILA MKUMBO akiwa katika kampeni za mtaa kwa mtaa kata ya Mabibo na Manzese.
Akisikiliza kero na kutumwa ya kusimamia wana Ubungo baada ya kumpa ridhaa kwa KUMCHAGUA [emoji736] tarehe 28 Oct...
Kitila aomba soko, Magufuli ampa hapohapo.
Rais John Magufuli amewapa wafanyabiashara wa Soko la Ndizi Mabibo umiliki wa soko baada ya kuombwa na mgombea ubunge wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, leo.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Barafu, Mburahati, Rais...
Kitila mkumbo ni chaguo sahihi kwa ubungo na siasa za Sasa.
Katika wakati ccm imefanya maamuzi sahihi kwa mazingira sahihi ,ni kipindi hiki walipopitisha majina kama Kitila Mkumbo kwenda bungeni
Hao ambao si wasomi Sana ndio wamefail..Mnyika hajamaliza degree amefail,Kubenea naye kawaida.bonny ana shahada ya ualimu pia naye amefail kwenye umeya...
Kwani ule mfuko wa jimbo huwa ni wa kazi gani !? Usimamizi wa barabara za mitaa ni kazi yakinani !? UBUNGO IKO NYUMA katika maendeleo sababu ya usimamizi mdogo wa viongozi wa serikali ya mtaa.1:diwani (bonny- chadema)
2:meya(bony- chadema)
3:mbunge(Chadema)
KWA UJUMLA CHADEMA WAMEFELI KULIMUDU...
Kiukweli nimekaa nikajiuliza Sana,na naomba tushare hili hapa.
JIMBO LA UBUNGO CHADEMA LINAWASHINDWA?
Kwanini nimewaza hivyo!!? mwaka 2010 mlituletea John Mnyika na kutuaminisha ndio mzizi wa fitina wa shida za ubungo,lakini amekaa miaka yake mitano tu nyie wenyewe kwa tathmin zenu za ndani...
Na John Marwa, Darmpya Blog
Mgombea ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Profesa Kitila Mkumbo, amewaahidi wafanyabiashara na wakazi wa kata ya Manzese kuwa ataboresha mazingira na miundombinu ya soko la Manzese ili wafanyabiashara wafanye kazi katika mazingira mazuri...
Ameandika mdau @dr.johnheshima huko mjini Instagram
Ni swali jepesi lenye jibu la ndio au hapana, lakini kabla hujajibu linahitaji tafiti isiyo rasmi kujihakiki.
Iko hivi, bi mkubwa, mamaake mwenyewe yupo mjini baada ya kaziara kafupi ka kuwatembelea marafiki zake wa zamani miji kadhaa ya...
Mamlaka ya Mawasiliano Nchini Tanzania TCRA, leo December 14 imefanya Ukaguzi wa mwisho, Kujiridhisha na Kuruhusu Kituo cha Utangazaji cha Radio5 Arusha kurudisha Matangazo yake hewani ifikapo December 16 mwaka huu 2016.
Akiongea na Viongozi na baadhi ya Wafanyakazi wa Radio5 baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.