Recent content by ally linje

  1. ally linje

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Wanaubungo tunaojielewa tumechoka kabisa kabisa
  2. ally linje

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Tunajua Kubenea anatafuta kick ila Kwa hili amepotea mazima.... Watanzania sio wajinga kama yeye....... Alichokitafuta ndicho alichokipata ila wananchi tumegoma kutoa credibility Kwa Ujinga kama wake....
  3. ally linje

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Kama umeipenda copy na paste kwenye kilingeni cha Ukiwa/Kubenea
  4. ally linje

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Mpaka nawe umecomment hakika utakuwa na jinsia 2....
  5. ally linje

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Kama amepindisha straight hiko wapi!?? Ukiona mgomvi wako amechukua nenda moja katika ugomvi mrefu Tambua amekosa point so direct Yuko na kosa Kubenea hawezi usuruhishi.
  6. ally linje

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Changanya na zako ndipo utaelewa kwamba Makonda ndiye DC pekee anayeendana na kasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John P Magufuli
  7. ally linje

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Wadau, amani iwe kwenu. Inaonekana ama Kubenea hajui majukumu yake ama anatafuta umaarufu katika mambo ambayo hana uwezo nayo. Tangu achaguliwe kuwa mbunge, Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amekuwa kituko nje na ndani ya bunge. Ndani ya Bunge, Saed Kubenea anaonekana mtu wa jazba, chuki, husda...
  8. ally linje

    Waziri wa Afya na naibu wake wamekutana na menejimenti ya wizara ya afya

    Taarifa muhimu maana Watanzania hatujui kama vimefanyika bila habari /taarifa
  9. ally linje

    Waziri wa Afya na naibu wake wamekutana na menejimenti ya wizara ya afya

    Waziri wa Afya,Maendeleo ya jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu na naibu wake Dr. Hamisi Kigwangalla Leo wamekutana na menejimenti ya wizara ya Afya jijini Dar es salaam kwa lengo la kufuatilia utendaji na utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya wizara. Watendaji wa wizara walitoa...
  10. ally linje

    Movie gani ya kipelelezi unaikubali kuliko zote hadi kesho?

    Naipenda Ile movie ya Jesus iliyofanyiwa translation ya kiswahili.. 😂😂
  11. ally linje

    Msala: Wema na Dawasco, wizi wa maji

    Mmh usimwamshe aliyelala
  12. ally linje

    Mada Huru: Ni Mtangazaji yupi anayekuboa zaidi?

    Sam mahela.......
  13. ally linje

    Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

    Huyu ndio Mollel Chaguo letu wana A town Mungu amsaidie sana maana tunaenda kupata mkombozi Kwa vizazi vyetu vijavyo Arusha
Back
Top Bottom