Good work vijana maana hawa ndugu wamezid uonevu et mtu unachukua bacherol of science in education with biology na ni yatima afu unakosa mkopo,huu c uonevu huu!
Yaani hawa ndugu siwaelewi hata kidogo nimesoma shule ya kata,sina mzazi hata mmoja na anayenisomesha ni mkulima na nachukua bachorol of education in science with biology,na vigezo vyote niliwasilisha lakini sijapata mkopo kabisa yaan sijui nimewakosea nin hawa ndugu
nasikia wametoa asilimia 94.06 kwa wanatakiwa kupata mkopo,wiki ijayo yanatolewa majina mengine yaliyobaki,tuliokosa mikopo tuwe na subira mungu atatenda miujiza
kama wapo na wanajijua basi wachukue tahadhar ya kuzuia maambukizi kwa wengine kwan wakikaa kimya na bila kuchukua tahadhari yeyote kuzuia maambukizi watakuwa wanafanya mauaji,hakuna tofauti na mtu anaeua kwa kisu au bastola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.