Recent content by Ally Bendera

  1. A

    Serikali, waelekezeni wanaotafuta elimu ya India na China kwa watoto wasio na sifa

    Hili halina mantiki yoyote kwani hata hapa nchini vyuo vingi havina sifa ya kutoa degree japo tumevipa hadhi hiyo. Kijana anachaguliwa Chuo ambacho kila kitu anajitegemea kuanzia kupanga Chumba, kujipikia, Lecturers hadi watoke Vyuo vingine kuja kufundisha na Ada kubwa kubwa hata pale kijana...
  2. A

    Tundu Lissu: CCM na uwongo wao wa gesi kupunguza bei ya umeme CAG kawaanika na kawashauri

    Kama unataka kujua Lissu ana akili au la mpeleke Mahakamani uone mziki wake
  3. A

    Spika naye lazima ajiheshimu au alazimishwe kukiheshimu kiti

    Mtu aliyecharaza bakora wapinzani wake wakati wa mchakato wa kugombea Ubunge ndiye anawaona wenzie ni watovu wa nidhamu
  4. A

    Hivi sisi watanzania ni binadamu original?

    Thread imejitosheleza. No comments
  5. A

    Upuuzi wa magazeti ya serikali, Kodi yetu inapotea bure

    Magazeti haya yanasomwa na wale waliojitoa ufahamu
  6. A

    Kitwanga aponda ndege mpya za ATCL mwanzo mwisho

    Lisemwalo lipo na kama halipo laja!
  7. A

    Tetesi: Siri imefichuka CUF

    Pumba za kupikia mataputapu
  8. A

    Kigwangala yuko Wizara gani?

    Surgery haihitaji Surgeon pekee bali anatakiwa na Anaesthetist awepo vile vile. Kuna utaratibu gani kuhakikisha wataalam hawa wapo wa kutosha kabla hatujatoa matamko ya aina hii?
  9. A

    Wasifu (CV) ya Mrisho Gambo aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha

    Kumbe alisoma enzi za kula makande Shuleni! Pole yake
  10. A

    Mwinjilisti amvaa Rais Magufuli, amuonya

    Yetu macho na masikio
Back
Top Bottom