Habari zenu. Naomba kuuliza kw MTU ambae ana diploma ya Business Administration kw mfano hizi nafasi za mwandish mwendesh ofisi au MTENDAJI ambazo sifa Zake ni Kam ifuatavyo
" Mwenye stashahada ya uhazili au Cheti cha NTA level 6 ya uhazili . Aidha awe amefaulu somo la hatimkato ya Kiswahili...
Sina utaalamu San lakin nahis huwend Indian ocean ndio meli nyingi zinatumia hio bahati na inakuwa rahis zaidi kuliko bahati ya Atlantic. Kwa mfano miak Kam mitatu ivi iliyopita kulikuw na meli kubw ya makontena ilikwam suez kanal misri ns ikaziba njia yenyew kbis kw muda WA wiki mzim. Kuumbuk...
Wabongo bhna we km unayapinga ya jamaa. Yaseme yako yaliyokuw sahihi sas . MTU anatupa hint munampinga ukiambiw wew unajua na haukuw na mpango WA kutuambia
We jamaaebu tuache kwnz. Umeshakaa marekani umepiga pesa saiv unakuja kushauri wenzio wasiende kw Kuwa wew umerud sjui umeshafanikiwa . Waache watu wakatafute maisha Bongo nyoso
Pole San mtoa mada. Na hongera . itakuw pepa yenu mulifaulu san Nd maan wamewek hio 85. Kw Sisi watu WA security pepa yetu walichukua kuanzia 56 kuja juu.
Ila naomb kuuliza kw wazoefu inachukua muda gani adi watu kuitwa kazini kw wataofaulu ?
Pole San mkuu. Mie pia niliomba nafas ya port clerk na walinitumia aptitude test link ya online nimepiga since February 4 mwak huu. Naon kimya mpk saiv Nd Huw inachukua muda mwngn hivi au Nishachinjwa tyr
Wapi unawek Chet cha ndoa mbon minaji race San vijan dah. Me mbon sijaon hio option.
Na pia nauliza wadau kusem km umeoa haiwez kuleta shida baadae au bor kuwek single Tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.