Acha ujinga wewe mbona ameongea mengi ya mana we ndy unabaki kuangalia hicho!!!
Kwel we hamnazo!! Demokrasia mbele ya kuibiwa!!! Iyo UK inaratbu kuondoa human right ili watekeleze mambo yao vizur
Ndy mana kasema moja ya jukum lao n kuhakikisha uchum wa nchi unastawi. Sasa kukusanya kodi kuna lengo gan km sio kustawisha uchum na kubust maendeleo!!! Soma kwanza kiundani post ndy utoe maoni. Inaonesha unajbu swali bila ata kuelewa???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.