Hahahahaaaaaa Tunahitaji kuwa na KATIBA BORA KAMA YA KENYA NA SOUTH AFRIKA LKN KWA KATIBA HII ya Sisi Wananchi kuwa Watu wa kuburuzwa na Kuwa Watu na Ndio Mzeeee ni tatizo Serikali ya Awamu ya Tano Inatumia Vizur kujihami kupitia UDHAIFU WA KATIBA YETU yaani Serikali ndo iwe na Amri kuliko...
Sijaziona Pushapu Au ziko Likizo sioni makeke ya Msukuma na Sendeka wako wap? Au ndo Ujinga mloufanya kusema ndio Mzee kwa Mtulia na bado Suruali zitawashuka Mtulia hauzikiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.