Bahati nzuri ni kwamba uzuri/ubora/mvuto wa jambo/kitu fulani uwa sio "universal". Mimi kwa kutizama kwangu na kwa vigezo vyangu niliona City alicheza mpira mzuri zaidi ya Madrid na hivyo alistahiki matokeo mazuri zaidi.
Binafsi nliota napambana na nyoka mkubwa,katika mapambano yale akaniweka mtu kati😂😂,akaning'ata mguu wangu wa kushoto halafu mguu wangu wa kulia akawa kauzungushia sehemu ya mkia wake. Wakati nahangaika kumtoa ndo kuamka kutoka usingizini na sikuwa nmemtoa kwenye miguu yangu.
Imenipa mawazo sana.
Kuna dada mmoja kwenye mtandao wa X kaipost hii picha,huyu mdada ana stress za kuolewa balaa😂😂😂,yeye kila post yake analalamika wanaume wamekataa kumuoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.