Recent content by AllanJnr

  1. AllanJnr

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Pdf ya tangazo lao mbona haipo kwenye website
  2. AllanJnr

    Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

    Mkuu kaa karibu na simu yako tu maana hamna namna
  3. AllanJnr

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu nawashukuru sana kwa miongozo mlokuwa mkitoa since day one naanza interview za utumishi hatimae nami nimebahatika katika mkeka ulotolewa leo mchana....... Ningependa kuwashaur tusikate tamaa kwa mliobaki ni swala la muda tu Pia kuhusu swala tulilolizungumzia mda mrefu la STATUS kwenye Web...
  4. AllanJnr

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwahyo huyo jamaa kapata ma vip?
  5. AllanJnr

    Wakuu naomba mnisaidie njia rahisi ya kuwasiliana na kuwafikia utumishi kirahisi kutokana na tatizo lifuatalo...

    Nmeandikiwa kuwa sijawa SHORT LISTED kutokana na kutoweka passport size wakati ipo na ninahakiki kila Mara kabla ya kuapply na nmeitwa interview kadhaa lakin hii ni ya umuhimu zaidi kwangu lakini wameniacha kwa kuniandikia sababu isiyo kuwa sahihi...hivyo nnaomba aliewahi kuwasiliana nao kwa...
  6. AllanJnr

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wameniwekea saiv sababu wandai sijaweka passport wakat ipo siku zote na baaz ya interview nimeitwa
  7. AllanJnr

    Kutolewa kwa mkeka wa MNH na JKCI (PSRS)

    Mfano mimi Nimekuwa not shortlisted wanadai sijaweka passport size photo wakati ipo tangu nafungua account na huwa naitwa isipokuwa sasa ndo wanatoa hizo sababu
Back
Top Bottom