Recent content by allan david

  1. A

    Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

    Naomba kujulishwa hukumu ya leo nlisikia tu kua imeahirishwa hadi saa saba. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. A

    Wasanii na watu maarufu na maisha yasiyo halisi

    Kuna ambao nimewatumia tokea August mwaka jana so bado tu dm zangu hazijafikiwa kusomwa??pia mfano mdogo angalia wanavyoweka post zao first comment kujibiw ni ishu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. A

    Wasanii na watu maarufu na maisha yasiyo halisi

    Baadhi ya wasanii na watu maarufu wamekua miongon mwa watu wanaopenda kupost mambo ya kiungwana katika kurasa zao mabalimabli kama facebook, WhatsApp twitter nk. Wakionesha huruma kwa wagonjwa hata kutaka wasaidiwe au kuweka topic kwa makusudi ya kuelimisha jamii inayowazunguka. Malamiko yangu...
  4. A

    Hii ya mfanyakazi wa TRA kukataa mamilioni mmh!

    Mi sielewi kama kakataa hongera kwake but huyo aliyempa amekamatwa au stori za makonda kukutwa na mankotena then anaachwa
  5. A

    Tundu Lissu alishatabiri kuwa ameanza na upinzani na baadaye atakuja kwenu, hatimaye yameanza kutimia!

    Huku sikudhania kama kuna matahaira..ila ww unifumbua macho suala la nchi we unahoji kuhusu chama...acha kukalia kichwa makalio ulipewa kwa ajili ya wanaopenda vichongeo??
  6. A

    Dar: Polisi inamshikilia Fatma Chikawe kwa kumdhalilisha Mzee Lowassa kuwa ni baba yake mzazi

    Ila mi nilimuelewa yule dada tofauti katika kuomba msamaha..hakukanusha kuwa lowas c baba yake ila aliomba rdhi kua hakujua kama yangeweza kua makubwa vile...wap alifta maelezo yake kua lowasa c baba yake ka alivyosema waz?? Ka hyo ipo naombwa kuambiwa c kutukanwa
  7. A

    Wizi wa Halotel, TCRA mko wapi?

    Hapo sijakuelewa unapata hizo package kwa shingap?? Kwan mi najiunga lain ya chuo kwa sh 2500 dk 200 halotel kwa haltel dk 20 mitandao yote mb 1350 txt bila kikomo
  8. A

    Reality: Mohammed Dewji, huna lolote la kutu 'inspire' sisi kama vijana

    Hata angekua mfagizi...ttzo wabongo ni waongo yeye ka kafanikiwa ni vizur coz ana creat ajir ila akae kimy c kudngnya watu...jamn buku saba tena kuanzia 2014 unaifanyia nn
  9. A

    Reality: Mohammed Dewji, huna lolote la kutu 'inspire' sisi kama vijana

    Umeandika yote ila mi nakubaliana na ww asilimia 90 mark juic hakuanza na mtaji wa sh 7000 inawezkana vp mfnyakaz wa benki tena yeye mwnyw kwa kuamua kuacha kaz akose mtaj ili hali anafaham fika kabisa ya kua anaacha kaz??
  10. A

    Kwa majibu kama haya kweli Bangi / Bange ikipigwa marufuku duniani tutalalamika?

    Jibu zur tu coz alitaka suggestion ni uamuz wake achukue mapendekezo gan
  11. A

    Uwoya adaiwa ndio chanzo cha Dogo Janja kuwa na muonekano wa kike

    Si halili ila sijawah kuona watu wakiwatolea pov
  12. A

    Uwoya adaiwa ndio chanzo cha Dogo Janja kuwa na muonekano wa kike

    Ila mbona joti na mpoki wanavaa nguo za kike na kuji make up??
  13. A

    Evarist Chahali: Kuna kiongozi wa nchi jirani ana "compromising information" kuhusu kiongozi mmoja "Mkubwa"

    Kifupi mr Chalali we ni mropokaji na mjuaji ka usivyoogopa nami sikuopi,acha ujuaji ulioptliza ndgu,na sidhan kwa akili hizi zinazokufanya uandike haya ushawahi kua afisa usalama hata wa kuku?? Uko empty sana,hata ka taifa letu haliko sawa...c njia sahihi kuchochea vita.unajifnya unaelwa kila...
Back
Top Bottom