Habari za majukumu wanafamilia wa JF. Mimi nilikuwa naomba ufafanuzi wa kisheria kwa dhati kabla sijaanza kufuata hatua zingine. Kuna kesi ya madai iliyosajiliwa mahakamani na ikatolewa uamuzi kuwa kesi imeisha na mdaiwa aliwekewa muda wa kulipa. Sasa kabla mdaiwa hajafikia ile siku ya kulipa...
Amani ya Mungu iwe juu yenu wanafamilia wa Jamii Forum. Je, kwa Tanzania kuna uwezekano wa kufanya Affiliate marketing? Kama ndio, Tafadhali mwenye ujuzi anifundishe kama inawezekana from zero level beginners . Naamini sio mimi tu nitafaidika pia vijana wengine watapata fursa.
Shukran za dhati.
Saa hii ukisema usubiri unaowajua wakupe mchongo utachoka sana at least the strangers gave me 2500 ya airtime lakn nimegundua kunakuibiwa nimeruun harder haha
Nishapata bonus zao kama 2.5k kifuta jasho japo baada ya hapo nilivyomalizia task kadhaa hawakunilipa ndipo waliponiamba niwatumie 15k ili wanalipe na faida nami ndio nikasanuka nikaona sio mbaya kushare na wanaJF
Ahhaqhhhahahaha my ribs🤣🤣 hakika hawanipati. Sasa hapo kwa group naona watu watoa feedback kuwa wamepewa faida kila nikitaka kuijiingiza namlaani shetani
Nimejifunza kitu rahisi kupitia hawa watu wnacheza na akili za watu. Simple task malipo makubwa it means wanajua watakavyokunasa. Nami nimejikataa siwaamini ata
Khaa aan for sure nilifreeze for a while how dare anataka nitume 15k over nothing bora angenidanganya hata ninunue bidhaa moja afu baadae anitapeli sio kuwa straight foward hivi orjoo
Habari zenu wanaJF. Nilikuwa nauliza kuhusu Aliexpress mwenye ujuzi nao tafadhali atuthibitishie. Jana nilipata kutextiwa whatsapp kwa namba ngeni akijitamvulisha kuwa ni mfanyakazi wa Ali Expresss Tanzania, basi nikamsililiza akanambia alinipa task kuwa atanipatia link then bidhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.