Recent content by Alkelokas

  1. Alkelokas

    Natafuta namna nzuri ya kuachana na mpenzi wangu aliyenifungulia kesi ya ubakaji

    Dah! Hawa viumbe ilitupasa tuwaepuke ila utelezi huu unatugharimu!
  2. Alkelokas

    Naombeni ufafanuzi Kisheria juu ya Mipaka ya Ardhi

    Nafikiria kuchukua maamuzi ya kufyeka matawi yote yaliyozidi,tatizo nataka kujua sheria imekaaje ili kibao kisijegeuka!
  3. Alkelokas

    Naombeni ufafanuzi Kisheria juu ya Mipaka ya Ardhi

    Habarini zenu wakuu, nina suala linanisumbua kati yangu na jirani angu kuhusu mipaka. Ni hivi jirani yangu kapanda mti wa mparachichi hii ya kisasa jirani kabisa na mpaka takribani nusu mita toka mpaka ulipo, sasa umekua na matawi mengi yamekuwa shambani kwangu ambapo nimepanda migomba...
  4. Alkelokas

    Kwanini Mbeya hakuna watu weupe? Kama ni baridi hata Lushoto ipo

    Dah jamaa unazingua namfahamu huyo mtu! Alisoma CBG??
  5. Alkelokas

    Watu wa maji na beacon zao na mabango ya ilani kuwekwa kwenye makazi

    Walivyoulizwa mbona hamfati mita 60 wanakwambia eti walitumia Gps siyo mfumo wa mita.
  6. Alkelokas

    Watu wa maji na beacon zao na mabango ya ilani kuwekwa kwenye makazi

    Hivi karibuni katika mtaa ninaoishi ambapo pia nimejenga nyumba ninayoishi,kumejitokeza watu wanaojiita Bodi ya maji ya Bonde la Ziwa Nyasa wakidai kuwa hili ni eneo la chanzo cha maji hivyo hapapaswi kufanya shughuli zozote za kibinadamu. Kilichonishangaza ni kuwa watu walipokuwa wanajenga...
  7. Alkelokas

    Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

    Hapo ndipo kutakwepo na kilio cha kusaga meno,ee mungu tuepushe na hiki kikombe.
  8. Alkelokas

    Ushauri: Nina degree na nafikiria kwenda VETA nijiajiri. Kozi ipi itaniwezesha kujiajiri bila kuwa na mtaji?

    Kama una idea na electronics somea hii kazi inalipa sana,inakufanya sehemu yoyote uweze kuishi
  9. Alkelokas

    NILIYEPATA NAE MTOTO ANANIKATALIA NIISHI NAE.

    Lakini kumbuka nilianza kumhudumia toka anamimba hadi hela za kwenda hospital kujifungua nilitoa na bado naendelea kutoa huduma japo siyo 100% kutokana na umbali alipo.
  10. Alkelokas

    NILIYEPATA NAE MTOTO ANANIKATALIA NIISHI NAE.

    Hata mimi sikumpenda it was just fighting stress after left each other with someone i planned to marry.
  11. Alkelokas

    NILIYEPATA NAE MTOTO ANANIKATALIA NIISHI NAE.

    Asante kwa ushauri mkuu.
  12. Alkelokas

    Kwa unywaji wangu wa Pepsi 3 nitegemee maradhi gani?

    Utasumbuliwa na tatizo la mifupa baadae!(just thinking)
  13. Alkelokas

    NILIYEPATA NAE MTOTO ANANIKATALIA NIISHI NAE.

    Afadhari hata angeishi nae yeye.Mtoto kamuachia bibi yake yani mzaa mama ake.Bibi wa watu anashida sana afu mbaya zaidi familia kubwa.Yani kuna dada zake hyo mwanamke na mama zake wadogo wamemrundikia bibi wa watu vitoto km kituo cha watoto yatima.Hata mimi wanishukuru kuwa angalau namkumbuka...
Back
Top Bottom