Muungano ni maridhiano ,, ikiwa ushirika au vyovyote ,, la msingi Tanganyika na Zanzibar inahitaji kura ya maoni, , Zanzibar imelishwa na Tanganyika miaka mingi, mpaka watanganyika wenyewe wakisema ndani ya bunge kuwa wamechoka ,, sasa ni mda muafaka wa kuulizwa Watanzanzania wanautaka mungono ?