duh yAn mbowe kafanya hv?yan chama kimekuwa kama mali yake au taasis yake.namiunga mkono mzee slaa ana busara huwez lamba matapishi kumbuka cku za nyuma lowasa ndo ilikuwa sera ya cdm leo unaongea nn na amejisafisha nn? kifup hata cdm kupokea na kuwa hadhi ya kugombea tena ubunge udiwan wale...
Nadhan kila moja hapo lina faida zake na hasara zake.kwa akil zangu za kijinga me nadhan s1 n bora zaid sababu utakuwa n muungano wa kwel.kwa ukiangalia tushaingiliana kiundugu nk miaka mingi hzo serikal mbil au tatu c muungano tunaraka taifa moja bendera moja rais moja.ikishindikana bas...
Nlisoma asbh hii kitu ya hilo gazet..kwan kama watu wana gombana utawashaur wapigane zaid au wakae chin wasuruhishe tofaut zao?yale yalikuwa mawazo kuwa wakae round table waongee kama hawatak bas ila wakimbiz wasije hapa na kama wanaona wanaonewa rwanda bas
Nmeliona bunge leo na nmesikia kwa masikio yangu .nadhan kwa kuwa wale wabunge wameisoma ishu nzima coz walisha pewa kuisoma bas lipo tatzo ndan ya hayo makaratas ndo mana cuf wame kuja juu nmesikia clouds fm spika aliita wana usalama.siasa inaenda wap cjategemea hili kutokea
Uko sahihi ila usiseme wanaume ndo wazinz peke yao hata mkeo akienda semina pia watu wana gonga tena sana kuliko wewe.mwanamke ana akil kama wewe pia jins unavyo jificha nae anatumia njia hio hio kama wewe so katika suala la mapenz hakuna mjanja kuliko mwingine
Sent from my BlackBerry 8520...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.