Ngoja ,sasa nikupe kichambo cha yombo msukuma ndio nikushauri, kadada kenyewe kabaya sura kama baba yaga kwenye filamu ya hell boy,miguu kama miti ya genge la mwananyamala,mkwapani unanuka harufu ya vitunguu vinavyoanza kuoza ,alafu unataka kumnyima mwenzio ,ebu mpe, eti akuwoe kwa shepu gani...