Recent content by Alicejacqueline

  1. A

    Nina wazo la kutoa huduma ya masoko kwa kampuni ndogo na kubwa

    Wateja wapo, kikubwa kupewa nafasi ya kuwaona wahusika
  2. A

    Nina wazo la kutoa huduma ya masoko kwa kampuni ndogo na kubwa

    Habari wakuu.. Naomba msaada was mawazo yenu katika kufanikisha wazo langu.. Nina wazo la kutoa huduma ya masoko kwa kampuni ndogo na kubwa( ingawa si wazo geni) Mimi ninachowaza ni kufanya kazi za kuwatafutia masoko ya bidhaa zao makampuni mfano naweza kwenda kampuni ya milango na madirisha...
  3. A

    Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

    Mkuu mashine hats ukipewa bure haiwezi kufanya kazi mpka ufunge mota na umeme ni njia 3 ongeza na jengo LA kuiweka Sasa tafuta gharama za mota tafuta na gharama za kufunga umeme was njia 3 ongeza na jengo Hapa lazima ujipange kidogo
  4. A

    Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

    Hii ni biashara nzuri sana na ina ela, kama unataka kuifanya usianze kwa kununua mashine na vitu vingine gharama ni kubwa mno na hutaweza kuifanya na kuona faida kama unavyodhan hii biashara ina mambo mengi kama zilivyo biashara nyingine Nikushauri kitu tafuta mashine itakayoweza kusaga na...
  5. A

    Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

    Hii ni biashara nzuri sana na ina ela, kama unataka kuifanya usianze kwa kununua mashine na vitu vingine gharama ni kubwa mno na hutaweza kuifanya na kuona faida kama unavyodhan hii biashara ina mambo mengi kama zilivyo biashara nyingine Nikushauri kitu tafuta mashine itakayoweza kusaga na...
  6. A

    Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

    Naomba nikuelekeze gharama za uendeshaji, gharama si kubwa maana gharama zote zinaingia kwa mlaji mfano umeme,usafiri,mifuko,maji n.k Unachotakiwa kuzingatia ni mahindi Mahindi mazuri yatatoa wastan mzuri yakitoa wastani mzuri ndio yayakupa faida nzuri Mahindi mazuri yanayotoa wastani mzuri ni...
  7. A

    Natafuta kazi ya sales kwenye kiwanda cha uzalishaji wa unga wa sembe na Dona

    Natafuta kazi ya sales kwenye kiwanda cha kuzalisha unga wa sembe na Dona, nina uzoefu mkubwa wa masoko kwenye field hii nina uwezo wa kuuza tani 60 mpka 90 kwa mwezi nina masoko na wateja wanaoniamini na kunipenda.. Tunaweza tukawasiliana kwa maelezo zaidi
Back
Top Bottom