Alicejacqueline
Member
- Jun 20, 2019
- 10
- 10
Habari wakuu..
Naomba msaada was mawazo yenu katika kufanikisha wazo langu..
Nina wazo la kutoa huduma ya masoko kwa kampuni ndogo na kubwa( ingawa si wazo geni)
Mimi ninachowaza ni kufanya kazi za kuwatafutia masoko ya bidhaa zao makampuni mfano naweza kwenda kampuni ya milango na madirisha alafu tunakubaliana niwatafutie wateja nikiwapata tunalipana kwa commission..
Nina uwezo mkubwa katika fani hii kujieleza na kumshawishi mteja
Jee? Hili limekaaje wakuu
Naomba msaada was mawazo yenu katika kufanikisha wazo langu..
Nina wazo la kutoa huduma ya masoko kwa kampuni ndogo na kubwa( ingawa si wazo geni)
Mimi ninachowaza ni kufanya kazi za kuwatafutia masoko ya bidhaa zao makampuni mfano naweza kwenda kampuni ya milango na madirisha alafu tunakubaliana niwatafutie wateja nikiwapata tunalipana kwa commission..
Nina uwezo mkubwa katika fani hii kujieleza na kumshawishi mteja
Jee? Hili limekaaje wakuu