unakurupuka mkuu. mafundi waliokuja kuchukua transfoma walisema ni matengenezo madogo tunashangaa ni wiki sasa huu sio mgao ni uzembe tu wangetutangazia tuelewe.AU meneja ni wewe?
Leo ni siku ya tano wakazi wa Moshono CR mpaka darajani hatujaouona umeme!!! Hukutoa hata taarifa kama kutakuwa na katizo la umeme.
Tunakuomba meneja uchukue hatua kumaliza hili tatizo.
Nawakilisha.
:angry:
Heshima kwenu wanajamvi.
Umri wangu unakaribia 30. Nina mpenzi ambae tulipanga tufunge ndoa siku za karibuni. Ajabu ni kwamba sasa hivi anataka nimzalie mtoto ndoa 'itakuja tu'! Napata wasiwasi. Nimeshamkatalia ila naona hanielewi. Sasa hivi hataki kuongelea ndoa tena! Anachotaka ni mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.