Recent content by Alibino

  1. Alibino

    Kumleta wachungaji wafanya biashara kwenye ufunguzi wa kampeni ni dalili za kupotea

    Wana jamii hili suala la kumleta mchungaji janja janja kama Hananja ni dalili za kupotea na kutokujua unachofanya. Let be honest ivi kweli mtu unamleta mchungaji Hananja ndo aje kuombea ufunguzi wa kampeni au Mwamposa kweli iyo inaingia akilini? Hizi ni dalili za wazi Rais kapotea ndo maana...
  2. Alibino

    Marekani anaitafuta nini Venezuela?

    Ndugu Wana jamii nawasalimu wote kwa pamoja....!! Hivi Wana jamii huyu Marekani anawatafuta nini wa Venezuela? Anajua anachokoza moto usiozimika kirahusi au ndo kujitoa ufahamu tu? Kwanza alimletea chokochoko mchina uzuri wake wachina huwa wanacheka na kima wakamkaushia, akatoka hapo akaleta...
  3. Alibino

    Kwa maana hii Ukraine wameshindwa vita

    Vichaa kama nyie huwa mnatokea wapi?
  4. Alibino

    Kwa maana hii Ukraine wameshindwa vita

    Kwasababu wewe ni upinde ukajua hichi ni kijiwe chenu? Potea huku nikwa wanaume kamili tu
  5. Alibino

    Kwa maana hii Ukraine wameshindwa vita

    Kwasababu ambazo Trump ameziorodhesha ni kweli Ukraine pamoja na kusaidiwa na marekani pamoja na umoja wa nchi za ulaya hii vita imewashinda
  6. Alibino

    Humphrey Polepole yupo sahihi, tumsikilize

    Ndugu zangu nimemsikiliza Polepole naona yupo sahihi tumsikilize
  7. Alibino

    Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

    😂😂😂😂😂😂 Jipige kifua mara 4 useme Mimi ni mpumbavu, fala, denzi, mjinga alafu fala kwenye hii dunia Mpaka mkeo anakupiga picha tena za makalio jua kuna kipindi alikuwa anagawa penzi kwa mtu mwingine wakati wewe umelala hujitambui Mwanamme nikulala kwa machale unalalaje kama mtu aliyekufa?
  8. Alibino

    Habari hii imenisikitisha sana

    Habari za kwenu Wana jamii.....!!! Katika pita pita kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na habari hii yakusikitisha ila kilichonisikitisha zaidi ni taarifa ya habari hii kutolewa maamuzi ya mwisho yaliyo niacha na maswali kadhaa 1. Ni kweli kijana huyu mwenye umri mdogo, mke na mtoto Mmoja...
  9. Alibino

    Nahitaji ushauri wenu kuhusu uhusiano wangu na mke wangu

    Umefanya jambo jema sana kuomba ushauri....!! Mimi nakupa ushauri ulio gawanyika katika sehemu kuu 2 1. Mkeo mwache ila hakikisha unatupatia namba yake ya simu pamoja na handle yake ya iyo TikTok kwa maana kwamba tuweze kumliwaza pindi ambacho wewe umemwacha hii itamsaidia kupunguza maumivu ya...
  10. Alibino

    Jamaa yangu alimtafuta mrembo wa kula naye bata bila kujua aliyekuja alikuwa ni mkewe!

    Bangi ya wapi umevuta? Au ndo ukichaa umekuakaribia
Back
Top Bottom