Pension zinazolipwa na Hazina kwa Wastaafu zimekuwa zilicheleweshwa bila taarifa kwa wastaafu.
Hadi sasa tarehe 12 July 20124, pension hizi hazijapatikana.
Pension hizi huwafaa wastaafu katika maswala mbali mbali kama chakula, matibabu na nk.
Hivyo kitendo cha kuchelewesha pension hizi...
GoldDhahabu unasema kweli. Kuna jamaa alienda njombe kwa masuala ya posa . Aliporudi alituambia amekuta watu wa Njombe ni wachapa kazi sana. Wote waliokuwa nao waliishangaa kuona biashara zilianza kuchangamka tangia mapema asubuhi kinyume na mijimingi hapa cnini Tz. NJOMBE OYEE.
Sent from my...
Sio kweli. Huwezi kuchukulia maongezi ya rafiki yako ukaweka mjumuiko. Pia luridhi shamba ni process sio kama mali za mjini. Mjane hawezi kuridhi shamba la migomba bila taratibu za kimila kufuatwa. Shamba la migomba sio duka au nyumba ya matehemu baba.
Mpendwa Heriel, salamu.
Hongera kwa siku yako ya kuzaliwa. Mimi ni mjadi sisherehekei siku ya kuzaliwa kwani wazazi wangu hawakuwahi kusherehekea wala kuandaa sherehe ya kuzaliwa kwangu. Kijijini kwetu sikuwahi kusikia au kuona familia au mtu binafsi anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Hata...
Ndugu zangu Watanzania masuala ya kidini yaendelee kama tulivyokuwa.Taasisi za dini ziwajibike kufundisha masomo ya dini.
Tuna mifano hai ya taharuki ya migongano ya dini nchi hii. Karibuni, miaka ya 2012 hadi 2013 tulikuwa na taharuki ya UCHINJAJI. Geita mauaji yalitokea. Maeneo mengine...
Tumeshindwa kuwalisha?. Tumewazaa, tumewakuza, tushindwe kuwalisha?. Haki ya mzazi iko wapi?. Yaani jirani ana uchungu na watoto kuliko wazazi?. Sisi wajadi tunakuwa na wasiwas kuwa huyu jirani sio bure.
Shule zetu za St Kayumba huwa hawali shuleni. Hata mimi nilikuwa sili chakula cha mchana shuleni nilipokuwa shule ya msingi.
Wazazi na walezi tumekuwa tukishirikishwa masuala ya chakula cha watoto shuleni mara zote. Kamari za shule zimekuwa zikikaa na wazazi kuitwa na kujadili mambo kama hayo...
Wazazi na walezi mkoani Dodoma wameshirikishwa katika zoezi hili la watoto wao kulishwa chakula cha msaada kutoka USA?
Hivi mzazi hana haki ya mtoto kwa chochote mwanaye anacholishwa?
Nauliza bajemeni hivi mwanangu anaweza kulishwa chakula chochot bila mzazi kushilikishwa.
Wazazi na walezi...
Huko sahihi kabisa. Mwanafunzi wa darasa la tatu anapewa notisi kibao kama mwanafuzi wa sekondari.
Mwanafunzi anakaririshwa what is physics, chemistry etc? Physics is a study of matter in relation to energy. Jamani darasa la tatu?. Darasa la tatu hiyo energy hujamfundisha kwa vitendo akaijua...
Hivi namba za simu za TANESCO za muda wote ni zipi?. Nipo Dodoma natumia namba za simu za TANESCO zilizo kwenye contact zao nikigoggle hawapokei. Nina tatizo la umeme nyumbani kwangu. Naomba msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.