⛑️TANGAZO MAALUM KUTOKA UMATIDO⛑️
(Umoja wa Madereva Tipa Dodoma)
🚛 Unamiliki Lori la TIPA?
Unataka lori lako lipate kazi za uhakika, lisimamiwe kwa uadilifu, na kukuingizia kipato bila usumbufu?
⚠️ USIKOSE FURSA HII!
Chama cha UMATIDO kinakaribisha wamiliki wote wa magari ya TIPA kujiunga...
⛑️TANGAZO MAALUM KUTOKA UMATIDO⛑️
(Umoja wa Madereva Tipa Dodoma)
🚛 Unamiliki Lori la TIPA?
Unataka lori lako lipate kazi za uhakika, lisimamie kwa uadilifu, na kukuingizia kipato bila usumbufu?
⚠️ USIKOSE FURSA HII!
Chama cha UMATIDO kinakaribisha wamiliki wote wa magari ya TIPA kujiunga...
Salaam wakuu ,huwenda nikawa nje kidogo ya mada ila nimekuja katika uwanja huu kwa lengo la kutafuta gari ya kufanya nazo kazi aina ya tipper (mende)nina uzoefu na nina kazi za kutosha hapa jijini dodoma kupindi kilichopita nilikuwa nina gari ya kufanya nayo kazi ila kwa bahati mbaya kwenye nayo...
Salam wakuu
Kwenye uhakika wa panapopatikana material ya kutengenezea perfumes za kupima na vifaa vingine kama chupa empty na vifungashio vingine naomba msaada plz wa pakuvinunua 0673654598
Zinabeba mbolea ya samadi mkuu(mavi ya ng'ombe ) zinatoa kijijini zinapeleka kiwanda cha mbolea na warundi ITRACOM ,maana nina tenda Pele ya kila siku huwaga wananikodi kwa sasa sina gari ndiyo maana natafuta nirudi kuendelea kufanya nao kazi
Salamu wakuu,
Kama nitakuwa nimekwenda nje ya mada nawaomba radhi ,mimi ni dereva wa muda sana katika ufanyajikazi wa tipper kubwa (gari za kusafirisha material ya ujenzi) nimefanya kazi chanukah,mbagara na badae nihamia Dodoma wakati mji unajengwa mpaka sasa ndiyo makazi yangu kwa bahati nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.