Huyu jamaa atasababisha nchi kuingia kwenye machafuko serikali ichukue hatua stahiki dhidi yake ana hatarisha usalama wa taifa ni mtu hatari asiachwa hivi hivi atatuvuruga watanzania.
Post sent using JamiiForums mobile app
Huu ni utovu wa nidhamu huwezi kumkashifu mkuu wa nchi pamoja na watenda kazi wake kwenye social network
Pia ni kuipotosha jamii,unaiaminisha jamii mambo ambayo sio sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.