Recent content by Alfredmtanzania

  1. Alfredmtanzania

    Lissu: Serikali hii (ya Magufuli) ni ya hovyo, huyu dikteta uchwara anahitaji kupingwa na kila mwananchi

    Huyu jamaa atasababisha nchi kuingia kwenye machafuko serikali ichukue hatua stahiki dhidi yake ana hatarisha usalama wa taifa ni mtu hatari asiachwa hivi hivi atatuvuruga watanzania. Post sent using JamiiForums mobile app
  2. Alfredmtanzania

    Ahsante media kwa kumuunga mkono Makonda

    Safi sana channel 10 huo ndo uzalendo Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
  3. Alfredmtanzania

    Another BossLady in the House, Hodiii

    Husna weka picha unayo onekana clear bila miwani ili kuondoa doubts za kuwa ww ni mwanaume.
  4. Alfredmtanzania

    Shy-Rose Bhanji aendelea kububujikwa machozi dhidi ya maamuzi ya Magufuli

    Hapa kutakuwa na namna Mh sio katili kiasi hicho ukizingatia huyu dada ni mwanaharakati wa mda mrefu.
  5. Alfredmtanzania

    Serikali ya Rais Magufuli ina upendeleo maalum kwa Paul Makonda? Kwanini hili liwe la kipekee kwake?

    Huu ni utovu wa nidhamu huwezi kumkashifu mkuu wa nchi pamoja na watenda kazi wake kwenye social network Pia ni kuipotosha jamii,unaiaminisha jamii mambo ambayo sio sahihi.
  6. Alfredmtanzania

    Amri ya kukamatwa wakina James Delicious zazagaa ulimwenguni

    Sodoma na Gomola ilichomwa moto kwa sababu ya uchafu kama huu,bora tukose hata hiyo misaada kuliko ku-entertain ushoga kwenye taifa letu.
Back
Top Bottom