Recent content by Alfred_Cpr

  1. Alfred_Cpr

    Wataalam wa hesabu, Kuna magari mangapi yaliyosajiliwa Plate Number A mpaka E?

    Kuna herufi kama I na O sijawai kuziona kwenye platenumber
  2. Alfred_Cpr

    Misaada ndugu zangu

    Actualy username ni form 4 index number pasword anaweza kwenda kwenye option ya forgot pasword afuate maelekezo, lamsingi awe na email aloitumia kufungua acount ya OAS
  3. Alfred_Cpr

    10 things to avoid if you want to grow

    I like this
  4. Alfred_Cpr

    Hivi kuna kipengele cha ku-attach affidavit unapofanya maombi Bodi ya Mikopo (HESLB)?

    Hiyo haitajiki, kinachohitajika ni application code baada ya kuhakiki cheti cha kuzaliwa kule RITA
  5. Alfred_Cpr

    Msaada: Nimepoteza majina kwenye simu yangu

    Kama ulikua unatumia smartphone ya Android jaribu kuweka email yako kwenye simu mpya kisha uangalie kama yapo. NB: Hii ni kama kwenye simu ya mwanzo ulikua una save hizo namba kwenye email.
  6. Alfred_Cpr

    Narudia tena: Kijana acha uzinzi

    Habari, Jamani uzinzi ni dhambi. Hata kumtazama mtu kwa kumtamani MATHAYO 5:28
  7. Alfred_Cpr

    Unatumia app au browser kuingia JamiiForums?

    Me sina smartphone ila naenjoy na kabatan kangu kana opera mini, naipata JF fresh sana
  8. Alfred_Cpr

    Unatumia app au browser kuingia JamiiForums?

    Tunaipataje ya zamani sasa
  9. Alfred_Cpr

    Unatumia app au browser kuingia JamiiForums?

    Habari mdau mwenzangu wa JF, natumai uko poa. Ningependa kujua unaingia huku kupitia app ya jamiiforums au website yao ya
Back
Top Bottom