hapa tulipo tofauti ya ccm na jeshi la police aipo wakubwa wa police wakishastaafu ugombea kwa tiketi ya ccm mfano Adad Rajabu mb muheza Tibaigana hakupata muleba kange lugora mwibara
isitoshe aliekuwa jaji mkuu alivyotaka urais kupitia ccm. Tunahitaji mabadiliko makubwa ya katiba yetu.
ada yake kwa primary ni 130000/= na baby&pre unity ni 100000 kwa muhula usafiri kwa mwezi maelewano kwa umbali wa unapoishi. wanafundishwa maadili nidham na stad za kazi pia
ipo shule sombetini ni nzuri sana mfumo wa ufundishaji wake ni wa juu sana inaitwa BRIGTHSOUL Ipo chini ya kanisa la kkt juu kidogo ya shule ya imani fika shuleni uwaone walimu itafunguliwa 02/05/16
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.