Ni kwamba kodi ilikuwa inalipwa wakati wa kusajiri, kwa mfano ukilipa 150,000 wakati wa kusajiri ulikuwa unapata stika ya Mwaka nzima kwa maana unalipa Mara moja kwa Mwaka. Kwa sawa utalipa hicho kiasi wakati wa kusajiri na ndani ya Mwaka huo huo utaendelea kulipa hiyo ada kila unapojaza mafuta...
Nakumbuka enzi za Mabasi za zainabu tulikuwa tunatoka Iringa saa moja jioni tunaingia Dar alfajiri asubuhi unaqahi mishe mishe jioni unapanda gari pale mnazi mmoja kesho ya asubuhi unapanga mzigo biashara anaendelea hakuna hela ya kulala logde hapo. Ilikuwa safi.
Nakumbuka enzi za Mabasi za zainabu tulikuwa tunatoka Iringa saa moja jioni tunaingia Dar alfajiri asubuhi unaqahi mishe mishe jioni unapanda gari pale mnazi mmoja kesho ya asubuhi unapanga mzigo biashara anaendelea hakuna hela ya kulala logde hapo. Ilikuwa safi.
Karibu wa bunge aliposema utaratibu/kanuni za bunge zilikiukwa wengi tulimsifia na kumpongeza, walioitwa kuhojiwa na Jeshi la polisi wakisema utaratibu wa kuwaita ulikiukwa tunasema waende tu watajieleza huko huko. Nashindwa kushangaa.
Kuna Mkuu wa Wilaya fulani alifunga baa kwa amri yake kwa sababu ya uchafu, mwenye baa kupitia kwa Wakili wake wakapinga kwamba Mkuu wa Wilaya hakuwa na Mamlaka ya kuifunga baa badala yake Bwana/ Bibi Afya ndiye mwenye Mamlaka hayo, DC alipopigwa chini akaanza kusema vi mahakama vyenu havina...
Tangazo linasema biashara ya bar inauzwa sio bar inauzwa, kuhusu kuiacha wakati kodi haijaisha sababu ziko nyingi Mkuu, kuna kubanwa na majuku mengine ukashindwa usimamizi, kuna uhamisho, kuishiwa uwezo wa kupambana na washindani.nk mojawapo kati ya hizo imenikuta Mimi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.