Huna hoja ya mcngi. Na kama kufikiri inaonekana badala ya kutumia kichwa unatumia makalio. Inaonekana hata katiba, sheria, kanuni, na talatibu huvijui ktk chama vina maana gani! C,kama chama cha malofa akilala akaamuka anafikaria afisadi sehemu gani. Kuanzia kwa mzito magogoni adi kwa...
Sijaona kosa lako kukaa nao kalibu, kwani kipindi hiki watu wanachumbia na kutongozana mbele ya wazazi sembuse we,lafiki tu. Achana na washamba wanao tongezeana kwenye majumba mabovu.
Inaonekana ni jinsi gani unavyo bakw na vibwengo. Sababu cdm nichama makini na hakikurupuki kwa mambo ya kufikirika kama ww unavyo fikiri. Subiri muda mchache ujao wakutieni jambajamba ndo,mtatia adabu.
Ccm kama wafa maji vile, tunashanga kuona ni jinc gani wanavyo angaika, c,ndio walio anzisha g,55! Walifanya hivyo wakiwa wana maanisha? Endeleeni na mchezo wenu wa kishetani, lakini ukumu yenu ni hapa duniani ya mbingu itafuata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.