Salamu wanajamvi!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, napenda nifahamu mwanamke anapolala na kujamiiana na mwanaume zile shahawa, mbegu na majimaji vinapoingia kwenye uke wake huwa zinakaa muda gani??
Inajulikana kuwa uke unao uwezo wa kujisafisha na kutoa zile shahawa baada ya muda au...
Story ya Yesu kuzaliwa Kwa nguvu za roho mtakatifu! Kwamba Roho Mtakatifu aliingia mean bikra Maria Kisha mimba ya Yesu ikatungwa. Kwa maneno menginne Maria hakukutana na mwanaune wakati anatunga mimba ya Yesu
Ni majuzi nilisikia huyu jamaa wa Kigali Rwanda amekuja Tanzania Kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Bahati mbayasikuwa karibu na Media hivyo sikusikia makusudi ya ziara yake nchini.
Wadau, naomba mnijuze, huyu jamaa Nini kimemsukuma kuja nchini? Anataka nini? Waliongea juu ya nini na mwenyeji...
Utakuta wenye sita wamewekwa pembeni wakifanya kazi za kawaida! Tatizo la nchi yetu, teuzi nyingi ni za mchongo; yaani who knows you! Siku hizi wanatumia neno "connection"; ambalo linamasna kama kubebwa au kuwa na ndugu anayekujua! Yaani siku hizi mtu kubebwa au kusaidiwa na ndugu au kutoa...
Report ya mwaka 2016 inasema South Africa ni nchi ya pili Kwa uhalifu baada ya USA. Pia, report hiyo inasema Kila baada ya dakika mbili kuna uhalifu unatokea waweza kuwa aidha was kuuwa Kwa silaha au ubakaji. Huko siyo pa kwenda, kule wamepinda vibaya ! Hawamjui Wala kumwogopa Mungu
East Africa Radio, nataka kuuliza; Kwanini hamjaweka mupatikanaji wenu Manispaa ya Kahama? East Africa Radio ni radio kongwe ya muda mrefu; inasikika maeneo mengi nchini lakini haipatikani Kahama - Shinyanga! Kwa Nini!? Kuna vigezo Gani vya kuzingatia Ili radio kusikika maeneo fulani!?
Kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.