Hii story imeanza kunipa mashaka kama ya kweli mahakama haiwezi kutoa faini kwa watu wawili walipe millioni 500 kwa kosa la ku report kuwa mtu hawamuelewi yaani kws kifupi hawana kosa kabisa wenye kazi ya kudhibitisha kuwa jamaa anafanya kazi halali au haramu ni polisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.