Nina kinanda psrs 650 ila nikikiwasha kinapiga sauti kama umepga jiwe kwenye maji, nkipiga wimbo (biti) bado kinapiga kelele bila kuweka hata sauti yoyote iliyomo kwenye kinanda hicho kama unajua tatizo naomben msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upande wa sayanc hwez ksoma coz kna baadh ya shule wanahtaj credit zote kwenye combination yako labda shule za vijijin ndo unaweza ksoma hyo sayansi lakn matokeo yako form 6 unaweza kuungua
Jipange kikamilifu maana na hko c mchezo na kama una uwezo nenda st, Henley's kitovu ipo masaka, Bukalasa seminar, masaka sec, kiteredde sec, kitende sec, London collage Kampala, meryland entebe, uganda martyrs etc
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Asant mkuu sasa nlikuwa naulizia kuhusu Majina mengine yatatoka lini maana wengine ndo tumeaply hapo na hatujaaply pengine tukitegemea tutadahiliwa asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jf, Kuna dogo alipata phz, bios, na chemistry D, D, D. Na math B sasa et anataka asome medicine certificate ila sasa sijui kama anaweza kusoma diploma na akisoma anaweza kutumia njia gan ili aisome
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo mkuu kama mtu amemaliza form 6 ila HGE na anaweza kupata nafasi kwenye hicho chuo na anaweza kusoma course ipi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.