alen augustine
Member
- Apr 27, 2017
- 29
- 9
Mbona mkuu batch ya 3 imechelewa sana kwa walioomba diplomaUme apply ngazi gani? Angalia katika hiyo PDF kuna namba za simu za Admission Officers. Unaweza kuwaulizia jumatatu. Ila next week itatoka Batch nyingine ya 3 kwa Diploma.
Bachelor Degree hadi tupeleke TCU wakafanye uhakiki.
Sent using Jamii Forums mobile app