Ku criticized MTU huwa sio poa kwani iPhone pekee ndio huwa INA huo ulinzi na unaweza hata nunua hiyo simu sec hand na bado MTU alikuuzia akawa kakutrick kwa kuacha acc take on kwa phone
mie nilikuwa nanua hizo simu kutoka south na nyingine zinakuja na icloud ila natoa na inaingia sokoni tena
kiikweli BB os ,iOS na window phone na pia zamani alikuwepo symbian os ni os complicated sana na pia ni bora misimu yote napenda kitu completed ila android hata mtoto wa miaka miwili anachezea tu.
mmmmhhhh
sipo kwaajiri ya kubishana au changanya hili na lile ninavyoweza kusema kuna iman nyingi duniani hapa na kila MTU anaamin anapo amin kwamfano watu wengi mashuri kama MZEE mzima Albert Einstein na wengineo wengi walikuwa ni watu wasio amin uwepo wa MUNGU ngoja nikwambie mleta huu Uzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.