Natafuta mtaalamu wa ku unlock iphone 6

Natafuta mtaalamu wa ku unlock iphone 6

Utafungwa na simu zako za wizi
Ku criticized MTU huwa sio poa kwani iPhone pekee ndio huwa INA huo ulinzi na unaweza hata nunua hiyo simu sec hand na bado MTU alikuuzia akawa kakutrick kwa kuacha acc take on kwa phone
mie nilikuwa nanua hizo simu kutoka south na nyingine zinakuja na icloud ila natoa na inaingia sokoni tena
 
ngoja na mie ni activate icloud kwenye iphone ili mwizi atakaeniibia apate tabu kuifungua
 
Back
Top Bottom