Recent content by albuluushiy

  1. albuluushiy

    Asante Hayati Magufuli kutuletea Rais Mwinyi Zanzibar

    Kwn kichwa cha habari kinasemaje
  2. albuluushiy

    Mume mmoja, wake Saba, umejiandaaje na ujio wa SHERIA hiyo ijayo duniani?

    Kwa hiyo alilaaniwa?huko kuzimu si ndo kufa?kwani alitakiwa aishi milele?
  3. albuluushiy

    Dar: Mvua kubwa sana imenyesha usiku wa kuamkia leo 21/01/2024

    Nimefurahi kukuona Madam siku nyng sana
  4. albuluushiy

    Tanzania yaanza kurudisha raia wake waliopo Sudan kutokana na machafuko yanayoendelea

    Updates. Ndugu zetu watanzania wako uwanja wa Ndege wa kimataifa Addis Ababa kwa ajili ya kuja Tanzania.
  5. albuluushiy

    Tanzania yaanza kurudisha raia wake waliopo Sudan kutokana na machafuko yanayoendelea

    sio aliishia darasa la tatu,ni kuwa hajawahi kusoma formal education kwenye maisha yake.
  6. albuluushiy

    Tanzania yaanza kurudisha raia wake waliopo Sudan kutokana na machafuko yanayoendelea

    Kaka achana na vitoto vidogo ambavyo ndio kwanza vinabalehe.
  7. albuluushiy

    Tanzania yaanza kurudisha raia wake waliopo Sudan kutokana na machafuko yanayoendelea

    Updates Ndugu zetu watanzania wameshaingia Ethiopia,wako mpakani kwa ajili ya kuendelea na safari kesho asubuhi.
  8. albuluushiy

    Tanzania yaanza kurudisha raia wake waliopo Sudan kutokana na machafuko yanayoendelea

    kutoka nje humuoni mtu wa ndani ila yeye anakuona
  9. albuluushiy

    Tanzania yaanza kurudisha raia wake waliopo Sudan kutokana na machafuko yanayoendelea

    Kiusalama haiwezi kuwa sababu kubwa sana kwa sababu nchi yote imechafuka ila sababu kubwa ni umbali kwenye vita hutakiwi kutembea umbali mrefu,kutoka Khartoum mpaka Cairo ni km 2000+ wakati kutoka Khartoum mpaka Gondar ni km 625
  10. albuluushiy

    Tanzania yaanza kurudisha raia wake waliopo Sudan kutokana na machafuko yanayoendelea

    kwa kweli kama nchi tumepiga hatua kubwa sana
  11. albuluushiy

    Tanzania yaanza kurudisha raia wake waliopo Sudan kutokana na machafuko yanayoendelea

    hizo ni luxury basi ila ni za kibabe sana,humo ndani unaambiwa pupwe lililopo sio la nchi hii[emoji2],ziko safe sana hizo gari,wanaojua magari wakiangalia tu watajua.
  12. albuluushiy

    Tanzania yaanza kurudisha raia wake waliopo Sudan kutokana na machafuko yanayoendelea

    wamebadilisha mwelekeo wameenda ethiopia .
Back
Top Bottom