Recent content by Albert Francis

  1. A

    Dawa ya Lowassa yapatikana

    JF huwa ni raha sana na story hazikomi...kwa mfano huyu nae kaja na story yake ya kina Nape wakati WENYEVITI wa CCM mkoa wanabwaga manyanga. Tusijisahau kupitiliza na kujifanya tunajua kuliko walio ndani ya CCM ambao hukaa kwenye vikao vinavyofanya maamuzi muhimu ya chama;hawa wanajua...
  2. A

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Mwanzoni nilidhani JF ni Real Home of Great Thinkers.....Kumbe kila mtu anaweza kukaa chini na kuandika anachojisikia akijitahidi kusambaza chuki za kufikirika na kuacha kufikiri kwa kina na kukitetea anachokipenda hata kama ni kibovu. Leo asubuhi pia nimemsikiliza somebody Bana nadhani ni prof...
  3. A

    Upepo wageuka tena, Juma Duni Haji kuwa Mgombea Mwenza wa Lowassa

    Hivi ndugu yangu unaushahidi wa unayoandika hapa
  4. A

    Mkutano wa Baraza Kuu CHADEMA - Agosti 03, 2015

    Unayo haki na utashi wa kufikiri hivyo...ila kwangu ni mawazo ya walioshindwa na kukata tamaa. Scene za siasa hubadirishwa na wanasiasa kulingana na upepo na utafiti sometimes. Sio kwa mawazo kama haya eti chama kimeuzwa. After all wewe ni mnazi wa CCM inakuumiza nini kuuzwa kwa CDM why you guys...
  5. A

    Mkutano wa Baraza Kuu CHADEMA - Agosti 03, 2015

    Unayo haki na utashi wa kufikiri hivyo...ila kwangu ni mawazo ya walioshindwa na kukata tamaa. Scene za siasa hubadirishwa na wanasiasa kulingana na upepo na utafiti sometimes. Sio kwa mawazo kama haya eti chama kimeuzwa. After all wewe ni mnazi wa CCM inakuumiza nini kuuzwa kwa CDM why you guys...
  6. A

    Hatuwezi kuvumilia watu kutumia jina la Rais kupata huruma za kisiasa

    Wenye hizo mamlaka za juu wapo ndugu na subiri wajibu kuliko hicho unachofanya sasa cha kumshutumu EL na kumuita kila jina baya. Usilazimihe mawazo yako ndio wazo la serikali kuu na usiruhusu siasa cha chuki za watu fulani ndio ziwe zako. EL amezungumza na leo hii CCM watazungumza; Tulia then...
  7. A

    GE2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

    Ndani ya JF kuuna UHURU wa mawzo na maoni, ila nafikiri uuhuru huu usitupeleke mahali tukawa watu w "FUNY" hasa inapofika mustakabali wa nchi! Sio lazima kila MADA utakayoikuta uichangie. Kukaa nkimya SOMETIMES ni HEKIMA hasa kama utakuwa huna cha kusema. Luv you guys Regards Albert
  8. A

    Hi, am a new member!

    I feel joy to join guys and s long as am here i will learn a lot from other members! Am coming!! Albert
Back
Top Bottom